YANYA YAPANGIWA WAARABU SHIRIKISHO
Droo ya hatua ya mchujo kuwania kutinga makundi ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), inaendelea muda huu Cairo, Misri, ambapo Yanga itacheza na Club Africain ya nchini Tunisia. Yanga ameungukia kwenye michuano hiyo baada ya kuondoshwa na Al Hilal kwenye ligi ya mabingwa kwa jumla ya goli 2-1.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed